ENEO LA 4

kwenye vyumba vya habari. Kuhamia kwenye vyombo vingine vya habari pamoja
na kupunguzwa kazi kwa miaka mingi kumepunguza idadi ya waandishi nguli
wa habari ambao bado wanajishughulisha na uhandishi wa habari. Mmoja wa
washiriki alieleza kwamba kutokana na watu kuwa wachache kwenye vyumba
vya habari, ilikuwa ni rahisi kushindwa kuona dosari.
Zamani kulikuwepo na waangalizi. Kwa kawaida, habari zilipitia kwa wahariri wa
habari, wahariri wasaidizi, wapitiaji, na mpitiaji mkuu na mhariri wa mahudhui
kabla ya kuchapishwa. Lakini siku.

Alama:
Alama za mshiriki mmoja mmoja:
1

Nchi inakidhi kiashiria

2

Nchi inakidhi vipengele vichache tu vya kiashiria

3

Nchi inakidhi vipengele kadhaa vya kiashiria

4

Nchi inakidhi vipengele vingi vya kiashiria

5

Nchi inakidhi vipengele vyote vya kiashiria

Wastani wa alama:
Alama ya miaka iliyopita:

✓

✓

✓✓✓

✓✓✓✓✓✓✓

2.7
2006: 2.1; 2008: 2.3; 2010: 3.2; 2012: 3.3; 2015: 2.9

4.2 Vyombo vya habari vinafuata maadili ya hiari ya
viwango vya weledi, ambavyo vinatiliwa mkazo
na vyombo huru visivyo vya kisheria ambavyo
vinashughulikia malalamiko kutoka kwa umma
Baraza la Vyombo vya Habari Tanzania (MCT), ambalo ndicho chombo kikuu
kinachosimamia maadili ya vyombo vya habari, lina mamlaka-kifani ya kutoa
maamuzi. Kwa kawaida, linapokea malalamiko kutoka kwa umma na mara
nyingi huyapatia ufumbuzi malalamiko yanayohusiana na vyombo vya habari
kabla hayajafika mahakamani.

Alama:
Alama za mshiriki mmoja mmoja:
1

Nchi inakidhi kiashiria

2

Nchi inakidhi vipengele vichache tu vya kiashiria

3

Nchi inakidhi vipengele kadhaa vya kiashiria

4

Nchi inakidhi vipengele vingi vya kiashiria

5

Nchi inakidhi vipengele vyote vya kiashiria

Wastani wa alama:
Alama ya miaka iliyopita:

49

✓✓✓✓✓

✓

✓

✓✓✓✓✓

4.5
2006: 3.4; 2008: 2.9; 2010: 2.9; 2012: 3.8; 2015: 4.1

KIPIMO CHA VYOMBO VYA HABARI BARANI AFRIKA TANZANIA 2019

Select target paragraph3