ENEO LA 2

kupata gigabaiti moja ya data, washiriki walisema kwamba gharama hiyo ilikuwa
bado juu kwa wananchi walio wengi. Kwa muhtsari, Tanzania ina wigo mpana
wa vyanzo vya habari, lakini upatikanaji wa vyanzo hivi mara nyingi umeathiriwa
na gharama, teknolojia na miundombinu.

Alama:
Alama za mshiriki mmoja mmoja:
1

Nchi inakidhi kiashiria

2

Nchi inakidhi vipengele vichache tu vya kiashiria

3

Nchi inakidhi vipengele kadhaa vya kiashiria

4

Nchi inakidhi vipengele vingi vya kiashiria

5

Nchi inakidhi vipengele vyote vya kiashiria

Wastani wa alama:
Alama ya miaka iliyopita:

✓✓

✓
✓✓

✓

✓✓✓

✓✓
✓

3.5
2006: 2.9; 2008: 2.8; 2010: 3; 2012: 3.3; 2015: 3.6

2.2 Upatikanaji wa vyombo vya habari vya ndani na
nje ya nchi kwa wananchi hauzuiliwi na mamlaka
za serikali
Upatikanaji wa vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi uko wazi na hauna
vizingiti Tanzania. Washiriki walisema kulikuwa na wigo mpana wa magazeti ya
nje katika mzunguko na wananchi wanaweza kupata matangazo ya nje kupitia
satelaiti na mkongo.

Alama:
Alama za mshiriki mmoja mmoja:
1

Nchi inakidhi kiashiria

2

Nchi inakidhi vipengele vichache tu vya kiashiria

3

Nchi inakidhi vipengele kadhaa vya kiashiria

4

Nchi inakidhi vipengele vingi vya kiashiria

5

Nchi inakidhi vipengele vyote vya kiashiria

Wastani wa alama:
Alama ya miaka iliyopita:

30

✓✓✓

✓

✓✓

✓

✓✓

✓

✓✓

4.8
2006: 3.1; 2008: 4.1; 2010: 3.8; 2012: 4.3; 2015: 4.7

KIPIMO CHA VYOMBO VYA HABARI BARANI AFRIKA TANZANIA 2019

Select target paragraph3